Raisi wa marekani Barak Obama kwa mara nyingine, ametokea kuvunja
sheria zake za kama raisi na kujichanganya na wananchi wa kawaida kama
ilvyo tabia yake, hivyo kutokea kuwapa shida walinzi wake. Barack Obama
aliwatoroka walinzi wake na kwenda kununua burger katika moja ya
migahawa inayotumika na wananchi wa kawaida, tukio hilo lilizua uwepo
mkubwa wa ulinzi kwa muda mchache tu..ikiwa hii ni mara ya pili kwa
tukio kama hilo kutokea…angalia kipande hiki cha video kikionyesha tukio>>>
0 comments:
Chapisha Maoni