Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii, siku ya
Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri, Mkoani Dodoma wasanii wa fani
mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa
‘Naiaminia Tanzania’.
Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya
Miaka 50 ya Tanzania, wali irecord wasanii 50, wakashoot na Video, Mwana
Fa pamoja na Nikki wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa
Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dr Jakaya
Mrisho Kikwete, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dr Shein,
atakuwepo Waziri Mkuu, Mh Mizengo Pinda pamoja na Baraza la Mawaziri na
viongozi mbalimbali.
Pale
Jamhuri Stadium kuzama itakua free bila mtonyo ili raia wote wapate
chakula cha ubongo kwa watakao kua nje ya Dodoma wataweza kuona.
0 comments:
Chapisha Maoni