Diego
Costa ameshinda tuzo ya mchezaji bora Premier League kwa mwezi August
kwa kuwapiku Cesc Fabregas (Chelsea), Nathan Dyer (Swansea),Gylfi
Sigurdsson (Swansea) na Andreas Weimann (Aston Villa).
Mourinho ambaye ndiye anayekinoa kikosi cha Chelsea amekosa tuzo kama hiyo kwa upande wa makocha na aliyechukua tuzo hiyo ni meneja wa Swansea City Garry Monk: kwa upande wa mameneja wengine waliokua wakiwania tuzo hiyo ni Paul Lambert (Aston Villa) na Mark Hughes (Stoke)
Mourinho ambaye ndiye anayekinoa kikosi cha Chelsea amekosa tuzo kama hiyo kwa upande wa makocha na aliyechukua tuzo hiyo ni meneja wa Swansea City Garry Monk: kwa upande wa mameneja wengine waliokua wakiwania tuzo hiyo ni Paul Lambert (Aston Villa) na Mark Hughes (Stoke)
0 comments:
Chapisha Maoni