Jumatatu, Julai 07, 2014

WAUGUZI WANAOWATOLEA LUGHA CHAFU WAJAWAZITO KUKIONA

Hii inaweza kuwa habari njema sana kwa wamama wajawazito na ambao wanajifungua kutokana na kutukanwa sana na wauguzi waendapo hospitali au katika vituo vya afya kupata huduma. Serikali imesema itawachukulia hatua kali za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi baadhi ya wauguzi na wataalam wa afya ambao watabainika kuwatolea lugha chafu baadhi ya akina mama wakati wa kujifungua.

0 comments:

Chapisha Maoni