Manchester United leo wametambulisha uzi wao mpya utakaotumika kwa
msimu 2014/15. Straika wa England Wayne Rooney, Robin van Persie na
Shinji Kagawa ndio wamewekwa vinara wa utambulisho huo.
Kwa wapenzi wa United watakaonunua jezi hizo - kwenye kola watakuta maandishi 'youth, courage
and greatness' kumaanisha sera za msimu huu ni 'ujana, ujasiri na mambo
makubwa'. Ikimaanisha kwa wachezaji dimbani maneno hayo ndio yatakua
muongozo wao dimbani.
Uzi mpya, kikosi kinachojengwa upya na meneja mpya. Nini matarajio yako juu ya klabu hii, umependa jezi gonga like
0 comments:
Chapisha Maoni