Ijumaa, Juni 27, 2014

GEORGE VI, MFALME ALIYEFEDHEHEKA KUTOKANA NA KIGUGUMIZI

Mfalme George V1 aliyetawala Uingereza kuanzia mwaka 1895 hadi 1952 alikuwa na kigugumizi. Kutokana na tatizo hilo, alikwepa na alikuwa na hofu kubwa ya kuzungumza mbele ya umma jambo ambalo haliepukiki katika nchi ya kifalme.
Mwaka 1925,  kabla ya kuwa mfalme, alitoa hotuba ya kufunga maonyesho ya kitaifa jijini London. Hotuba yake iliwachanganya wengi na kumfedhehesha kiongozi huyo kutokana na kigugumizi na tangu hapo aliamua kumtafuta mtaalamu wa kuzungumza.

0 comments:

Chapisha Maoni