Akizungumza na Fichuo Tz hivi karibuni, Lulu alisema tangu ametoka
gerezani ameamua kujiweka pembeni na kilevi hicho na kwamba bora aitwe
mshamba.
“Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo kwani ndiyo
kichocheo cha kila baya hapa duniani, watakaoniona mshamba kwa
kubadilika kwangu wanione hivyohivyo,” alisema Lulu.
Msanii huyo
kipindi cha nyumba alikuwa hakamatiki kwa kilevi na kuna wakati aliwahi
kuzimika alipofakamia pombe za ofa alipokuwa ndani ya Ukumbi wa Maisha
Club, jijini Dar.
0 comments:
Chapisha Maoni