Jumatano, Julai 30, 2014

KATI YA BARABARA HATARI ZAIDI DUNIANI

Kuna maeneo mengi hatari duniani kwa madereva watumiapo vyombo vya moto, lakini leo katika Fichuo Tz Blog nataka uifahamu barabara iitwayo Atlantic Ocean Road iliyo Norway ni barabara yenye umbali wa kilomita 8.3 ambayo inatajwa kuwa mojawapo ya barabara hatari kutumiwa na madereva duniani!

0 comments:

Chapisha Maoni