Jumatano, Julai 30, 2014

BASI LA MOROBEST LAUA 20 DODOMA

Kiasi cha  watu 20 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya basi la Moro Best lililokuwa linatoka Mpwapwa kwenda Dar es Salaam kugongana na lori eneo la Pandambili, Kongwa mkoani Dodoma leo.

0 comments:

Chapisha Maoni