Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia juzi ambapo inadaiwa Joel akiwa
na wenzake watatu, walifika kwa mama huyo wakidai kuwa marafiki wa
kaka yake, na alipofungua walianza kumshambulia kwa mapanga hadi
akapoteza fahamu.
Kamanda Konyo alisema watuhumiwa wengine wawili bado wanatafutwa, ili kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
0 comments:
Chapisha Maoni