Jumamosi, Juni 14, 2014

KIUMBE CHA AJABU CHAKUTWA KATIKA SOKO LILILOUNGUA DAR ES SALAAM

Najua wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari hasa za hapa nyumbani Tanzania, na ninauhakika kuwa ulipata habari na picha juu ya kuungua mabanda ya wamachinga katika soko la Karume jijini Dar es Salaam au ulishuhudia live kama ulifanikiwa kufika katika eneo la tukio.
Sasa kufuatia lile tukio, ni kwamba kuna kiumbe cha ajabu kimekutwa katika sehemu iliyoteketea kwa moto na mpaka sasa bado haijafahamika kuwa ni kiumbe gani, wapo wanaodai kuwa ni paka, wengine wana sema kuwa ni mtu na maoni mengine mengi sana, hebu tazama kwa muda wako kama utaweza kutambua kiumbe hiki>>>

0 comments:

Chapisha Maoni