Jumatano, Juni 11, 2014

BREAKING NEWS: MABANDA YA WAMACHINGA SOKO LA KARUME YANAWAKA MOTO USIKU HUU, PICHA NNE ZA TUKIO ZIKO HAPA

Mabanda ya wamachinga eneo la Soko Karume yanaungua na moto. Habari zaidi zitafuata. Moto bado ni mkali, unazidii kusambaa na sasa unaelekea Breweries. Usipothibitiwa Mapema utaleta athari kubwa sana.
Hali bado ni tete, Fire walifika katika eneo la tukio na sasa wanaondoka bada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa.
Nguzo za umeme zinaungua pia.
Kuna umati wa watu mkubwa, baadhi wanalia kwa uchungu wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa.

0 comments:

Chapisha Maoni