| Adam Kuambiana enzi za uhai wake, hapa Adam Kuambiana Akisoma maoni na pongezi kutoka kwa wadau wa filamu Tanzania |
![]() |
| Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa Muhimbili kuhifadhiwa. |
![]() |
| Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam alikofia Msanii Kuambiana. |
![]() |
| Msanii aliekuwa akicheza filamu moja na marehemu katika Hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar akilia kwa uchungu nje ya Hospitali ya Mama Ngoma leo mchana huu. |
![]() |
| Wasanii wakilia kwa uchungu nje ya Hospitali ya Mama Ngoma leo mchana huu. |







0 comments:
Chapisha Maoni