Ijumaa, Mei 16, 2014

KAMBI RASMI YA UPINZANI YATOA MSAMAHA KWA JAJI WEREMA, SIKILIZA HAPA KAULI YAO

Kwa maneno ya siku hizi ni kwamba Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Fredrick Werema ‘amelikoroga na kulinywa mwenyewe’, baada ya jana kutoa kauli ya kuudhi alipomtaka mbunge kutoka Zanzibar akaulize swali lake visiwani humo, iliyosababisha baadhi ya wabunge kususia Bunge na kutoka. Lakini hatimaye leo kambi rasmi ya upinzani imetoa majibu ya msamaha baada ya msamaha huo kuwasilishwa na James Mbatia kwa niaba ya kambi hiyo, sikiliza hapa chini>>>

0 comments:

Chapisha Maoni