Alhamisi, Aprili 06, 2017

LILICHOZUNGUMZA SHIRIKISHO LA SOKA ULAYA (UEFA) KUHUSU MBWANA SAMATTA

Shirikisho la Soka Barani Ulaya(UEFA) katika ukurasa wao wa mtandao wa Twitter wametweet picha ya nyota wa soka kutoka Tanzania, Mbwana Ally Samatta na kumtaja kuwa ni mchezaji wa kuangaliwa.
Mshambuliaji huyo hatari amefunga magoli sita katika michezo mitano ya mwisho aliyoichezea Klabu yake ya KRC Genk.

0 comments:

Chapisha Maoni