Alhamisi, Aprili 06, 2017

NAPE NNAUYE KUMWAGA UKWELI WOTE JUMAMOSI


Aliyekuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kabla ya  Dkt. Harrison Mwakyembe kuteuliwa kuchukua nafasi hiyo na rais wa nchi, Nape Mosses Nnauye ambaye ni mbunge wa jimbo la Mtama amearifu kuwa siku ya jumamosi atakuwa jimboni kwake kuzungumza na wananchi kuhusu ukweli wa kila kilichotokea.
Nape ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter mapema leo.
Shukrani kwa wote mlioniunga mkono katika kusimamia haki. Narudi Mtama kuwaeleza wapiga kura wangu UKWELI WOTE. Ni Jmosi hii tar 8/4/17.

0 comments:

Chapisha Maoni