Jumanne, Aprili 04, 2017

ALICHOZUNGUMZA MTOTO BRADLEY LOWREY KUHUSU KIFO CHAKE NA JERMAINE DEFOE

Mtoto Bradley Lowrey ambaye anaumwa ugonjwa wa kansa unaojulikana kama Neuroblastoma ambaye madaktari bingwa wa ugonjwa wa kansa duniani walimtabiria kuwa hakuwa na siku nyingi za kusihi, amenukuliwa akisema kuwa kila anapojisikia kuumwa sana na kudhani kuwa anakaribia kufa kama alivyoambiwa na madaktari, anakumbuka maneno ya rafiki yake mkubwa Jermaine Defoe akisema:
“Bradley, huwezi kufa kwa ajili ya kuumwa, na endapo utakufa itakuwa ni kwa amri ya Mungu na utakuwa katika mikono salama."

0 comments:

Chapisha Maoni