Jumatatu, Machi 13, 2017

KILICHOANDIKWA LEO KATIKA MAGAZETI YA TANZANIA DAIMA, MTANZANIA NA HABARI LEO

TANZANIA DAIMA
  • Mbowe: Waacheni waje...Awakaribisha Chadema Sophia Simba, Madabida, Msambatavangu na wengine waliotoswa CCM
  • Bomoabomoa yazikumba nyumba 300 Dar
  • Makonda kimya kimya...arejea kama alivyoondoka, aendeleza ugumu wa kuanika vyeti
  • Maalim Seif: Prof. Lipumba Usinichezee
  • DC Kasulu arejeshwa jeshini
  • TFF yaitega CAF...Taifa Stars yatajwa bila nyota wa Z'bar, Thomas Ulimwengu aibua maswali.
  • Serengeti Boys yaingia kambini
  • Azam FC kupaa kesho, Yanga alhamis

MTANZANIA
  • Sophia Simba afunguka
  • Makonda aibuka, aonya wakurugenzi
  • Kikwete azindua taasisi yake
  • Kesi ya kupinga TLS yatupwa Dar
  • Mayanga aita 26 stars...Simba, Azam wachezaji saba,Yanga wanne
  • Yanga kuifuata Zanaco alhamisi
  • Cheche: Haikuwa kazi rahisi kupata ushindi
  • Jaguar: Ashikiliwa na polisi kwa mauaji Kenya

HABARI LEO
  • Makonda arejea nguvu mpya
  • Lusinde alia upweke kifo cha Kahama
  • Lissu, Masha watinga kortini uchaguzi wa TLS
  • Wenyeviti, Makatibu CCM wapikwauchaguzi wa ndani
  • DC Kasulu aondolewa arejeshwa jeshini
  • Mtanzania kuchezesha Kombe la Dunia
  • Mayanga ataja Stars mpya
  • BFT yasogeza mbele ndondi za Taifa
  • Real warejea kileleni, Barca hoi

0 comments:

Chapisha Maoni