Jumatano, Machi 15, 2017

FLOYD MAYWEATHER VS CONOR McGREGOR....NI JUNI 10, 2017

Mmarekani anayefahamika kama Money na Muireland aitwaye Notorious wameuteua ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas kuwa shehemu. ya pambano lao.

Kila mmoja ametaja bei yake ya kupanda ulingoni kuwa dola za Kimarekani Milioni 100.
Mayweather amesema kwamba rasmi amerejea ulingoni kwa ajili ya McGregor baada ya kustaafu akiwa amepigana mapambano 49 na kushinda yote rekodi sawa na ya gwiji, legendary Rocky Marciano na hilo litaitwa "Pambano la Karne".

0 comments:

Chapisha Maoni