Jumatatu, Januari 11, 2016

VIDEO NA PICHA WAKATI MESSI NA LLOYD, WASHINDI WA FIFA BALLON D'OR WAKITANGAZWA LEO ZURICH

Muda mfupi uliopita zile tuzo kubwa ulizozisubiri kwa muda mrefu za FIFA BALLON D'OR zimefanyika mjini Zurich na hatimaye mchezaji wa Barcelona Lionel Messi ametangazwa kuwa mchezaji bora wa kiume wakati Carli Lloyd ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa kike.
Wakati huo huo Timu bora ya mwaka FIFPro wachezaji waliopangwa katika kikosi hicho ni:

Kipa: Manuel Neuer, 

Mabeki: Thiago Silva, Marcelo, Sergio Ramos, Dani Alves

Viungo: Andres Iniesta, Luka Modric, Paul Pogba, 

Washambuliaji: Neymar, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo

Video ya kutangazwa kwa washindi wa tuzo hizo hii hapa chini, karibu!

0 comments:

Chapisha Maoni