Jumapili, Septemba 14, 2014

BREAKING NEWS: MH. FREEMAN MBOWE ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MKUU CHADEMA

Matokeo ya uchaguzi wa mkuu Chadema, Mh. Freeman Mbowe ameibuka Kidedea nafasi ya Mwenyekiti kwa kura 789 dhidi ya mpinzani wake Gambaranyera Mongateo ambaye amepata kura 20. Jumla ya kura zote zilikuwa 811 ambapo 2 zimeharibika.
Upande wa Zanzibar nafasi ya Makamu mwenyekiti Said Issa Muhamed kaibuka mshindi kwa kura 645 zidi ya mpinzani wake Hamad Yusuf aliyepata kura 163 jumla ya kura zote 811 ambapo kura 2 zimeharibika

0 comments:

Chapisha Maoni