RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika
kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga,
juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya
Sekondari Kipumbwi. Pamoja na hayo rais Kikwete ameonekana mwenye furaha kukutana na wakazi wa mji huo kwa kusalimiana na hata kuwapa pesa (picha: Freddy Maro/Ikulu).
0 comments:
Chapisha Maoni