Arsenal wamefuzu Champions League kwa mara ya
17 mfululizo. Ni mafanikio ambayo timu nyingi hazijaweza
kuyafikia(kushiriki mara 17 mfululizo).
Na wadau wengi wanadai kwamba falsafa ya Wenger kuchukulia kumaliza nafasi ya 4 kama kunyakua Kombe ndio sababu hasa ya klabu hiyo kuridhika na mafanikio hayo ya kumaliza ikiwa ya 4 bila kunayakua kombe lolote.
Na wadau wengi wanadai kwamba falsafa ya Wenger kuchukulia kumaliza nafasi ya 4 kama kunyakua Kombe ndio sababu hasa ya klabu hiyo kuridhika na mafanikio hayo ya kumaliza ikiwa ya 4 bila kunayakua kombe lolote.
Unadhani Wenger hua hafanyi jitihada zinazotakiwa kutwaa kombe lolote
kwa kua hufurahia hata kumaliza nafasi za juu bila kombe husika
akichukulia kama mafanikio?
0 comments:
Chapisha Maoni