Jumatatu, Mei 05, 2014

SAJENTI: NITAZAA KIJIJI

KIMWANA Manywele 2011, Husna Maulid ‘Sajent’ amesema kuwa anapenda watoto hivyo yupo radhi kuzaa watoto wengi kupita maelezo hata kijiji kizima.
Sajent alifunguka hayo baada ya kuulizwa na safu hii kama ana mpango wa kuzaa tena tofauti na mtoto aliyezaa na Prezidaa wa Mashujaa Music Band, Charles Baba ‘Chaz Baba’.
Nitazaa hata kijiji kizima, mwenzenu nawapenda sana watoto, hivyo Mungu akinijalia nitazaa wengi
alisema Sajent.

0 comments:

Chapisha Maoni