Leo ni Jumatano ya Majivu. Kwanini Majivu? Kanisa linaendeleza imani ya
agano la Kale na Jipya ya kufanya toba. Kama tunavyoona katika kitabu
cha Ayubu 42:6.
"Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu na kutubu katika vumbi na majivu "
Hivyo Kanisa linatualika kutafakari mienendo yetu na katika kipindi hiki cha Kwarezma basi na tufanye toba na kumrudia Bwana. Lakini si katika kipindi hiki tu bali katika siku zote za maisha yetu. Matendo makuu matatu inatupasa kuambatana nayo
1. Kusali
2. Kufunga
3. Kutenda mema na kuwajali wasiojiweza
Hivyo Kanisa linatualika kutafakari mienendo yetu na katika kipindi hiki cha Kwarezma basi na tufanye toba na kumrudia Bwana. Lakini si katika kipindi hiki tu bali katika siku zote za maisha yetu. Matendo makuu matatu inatupasa kuambatana nayo
1. Kusali
2. Kufunga
3. Kutenda mema na kuwajali wasiojiweza




0 comments:
Chapisha Maoni