Ijumaa, Machi 28, 2014

HIKI NDICHO ANAJIVUNIA AGNES MASOGANGE

Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio.


asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu.”

0 comments:

Chapisha Maoni