Jumanne, Februari 14, 2017

ZIMBABWE WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KONDOMU

Mamilioni ya mipira ya kondomu ilitumika nchini Zimbabwe mwaka jana kutokana na mafanikio wa kukuza matumizi ya kondomu kama mbinu fanisi kuzuia virusi vya Ukimwi, vyombo vya habari .
Raia wa Zimbabwe leo waliungana kuadhimisha International Condom Day, siku hii ilianzishwa ili kutambua umuhimu wa kondomu.

0 comments:

Chapisha Maoni