Jumanne, Agosti 30, 2016

KONDOM MILIONI 21 KUGAWANYWA TANZANIA

Serikali ya Tanzania imeanza zoezi la kugawanya kondomu milioni 21 kwa watanzania ili kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya HIV.
Kondomu hizo zitaganywa bureee.
Wizara ya afya na maendeleo ya jamii Tanzania imesema mpango huo maalum ni lengo la pamoja la mataifa mbali mbali kufanya bidii kumalizana na ukimwi kufikia 2030.

0 comments:

Chapisha Maoni