Wanafunzi 28,037 watakosa mikopo kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hivyo watalazimika kusaka njia mbadala
kama wanataka kuendelea na masomo hayo. Hadi kufikia julai 31 wanafunzi
58,037 walikuwa wametuma maombi ya mkopo na bodi hiyo imesema ina uwezo
wa kutoa mikopo kwa wanafunzi 30,000 tu.
Pia kuhusu madai ya wanafunzi wa vyuo vitano kutaka wapewe bilioni 6.6
kwaajili ya mafunzo ya vitendo, bodi ya mikopo imesema malipo hayo
yaandaliwa na kwamba hundi za malipo hayo zinatarajiwa kupelekwa katika
vyuo wiki ijayo.
Vyuo hivyo ambavyo havijapata fedha ni SAUT, IFM, Teofilo Kisanji- Mbeya, Tumaini, SMUCCO na Jordan cha Morogoro
Vyuo hivyo ambavyo havijapata fedha ni SAUT, IFM, Teofilo Kisanji- Mbeya, Tumaini, SMUCCO na Jordan cha Morogoro
0 comments:
Chapisha Maoni