Utajisikiaje pale mtu mwenye influence kubwa katika kitu
unachokifanya anapo comment kwenye moja ya picha yako ambayo dizaini
kama imemstua fulani hiviii, ila kwa uzuri.
Nauliza hivyo kwa
sababu Meneja wa wasanii wakubwa pande za States, kama vile, Big Sean,
Trey Songs n.k, Juzi kati makamu huyo wa Raisi wa kampuni ya Def Jam,
Kevin Liles alishindwa kuvumilia na kuamua kudondosha comment yake
kwenye picha ya Diamond kwenye mtandao wa picha yaani instagram wakati
Diamond akiwa pande za Tunduma…..
Kwa jinsi ule umati ulivyompokea dizaini Kevin akaona potential ya
Diamond nchini mwake na kuamua kuandika comment kwamba Diamond kama
akipata nafasi amtafute, comment hiyo inasomeka kama
"Great shot, hit me when you get a chance"
"Great shot, hit me when you get a chance"
0 comments:
Chapisha Maoni