Burundi imeamua kujitenga kwa muda kutoka jumuiya ya
Afrika ya Mashariki na kubaki kama waangalizi (Observer) kutokana na
kushindwa kumudu gharama za vikao ambavyo ni sita kwa mwaka!
Hivyo Burundi haitashiriki katika kupiga kura za maamuzi! Hata hivyo imesisitiza kuwa haitajiondoa katika jumuiya hiyo na itarudia katika uanachama wake wa kawaida hali ya uchumi wake utakapotengamaa!
Hivyo Burundi haitashiriki katika kupiga kura za maamuzi! Hata hivyo imesisitiza kuwa haitajiondoa katika jumuiya hiyo na itarudia katika uanachama wake wa kawaida hali ya uchumi wake utakapotengamaa!
0 comments:
Chapisha Maoni