Ijumaa, Julai 25, 2014

KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ KUNYOA KIPARA

GOOD MORNING! Kuna watu wengi wameamini kwamba Diamond Platnumz amenyoa kipara baada ya kuona hii picha, na wakazidi kuamini hilo kutokana na msemo wake wa "MWENDO WA VIPARA" ukweli ni kwamba Diamond hajanyoa kipara ila ni utundu wa watu katika AdobePS, hapa utaiona picha original ya hiyo iliyochezewa...Picha kwa hisani ya Fichuo Tz Blog!!!

0 comments:

Chapisha Maoni