Ijumaa, Julai 25, 2014

AZAM FC NA SIMBA NDIO CLUB BORA TANZANIA, NI KWA MUJIBU WA MTANDAO WA FOOTBALL DATABASE

Mwaka jana tulileta taarifa toka mtandao wa goal waliotoa orodha ya washambuliaji bora 1,000 Duniani katika orodha hiyo John Bocco alikuwa mshambuliaji pekee wa Afrika Mashariki.
Leo kuna nyingine toka mtandao wa football database inayoonesha Azam FC ndiyo klabu bora nchini ikifuatiwa na Simba SC, hakuna timu nyingine toka Tanzania iliyoingia kwenye chati hii zaidi ya Simba SC na Azam FC inayoongoza 
Fungua link hiii utafahamu kwa undani na utaziona pia timu nyinginezo zilizopo katika orodha hiyo
http://footballdatabase.com/ranking/africa/7

0 comments:

Chapisha Maoni