Jumapili, Julai 06, 2014

KAMA NI WEWE UTAFANYA NINI?

Kwa mfano umemuita dem wako geto, akaja lakn akakwambia hajisikii vzur, kwakua ww unampenda na unamwamin, unaamua kuchukulia poa. Dem anaamua kuaga ili akapumzke nyumban kwao, ww kiroho saf unamluhusu aondoke, ile anafka kwao anakwambia Baby mi nmefka napumzka saiv, tutaongea badae. Ww ukajibu poa. Ile anakata cm namba yake ikawa haipatkan tena. Ww ukachukulia poa 2. Kwakua ww n fund wa umeme wa majumban, unapigiwa cm na jamaa mmoja mwenye gest anakuomba ukamtengenezee taa ktk gest yake il wateja wake wasilale gizan, ww ukachukua vifaa vya ufund il ukapige kaz, wakat unaendelea na kaz, unasikia saut ya dem wako ktk chumba kimoja, ukaamua kupotezea, umepiga kaz mpaka ukamalza, ile unamalza tu, unamchek jamaa ako anatoka ktk kile chumba na dem wako, tena dem kavaa nguo tofaut na zile alzokuja amevaa kwako. Jamaa hajui kama yule n dem wako lakn dem anajua kama yule n jamaa ako wa kitambo. Kama ndo ww fund umeme utafanya nn hapo.

0 comments:

Chapisha Maoni