Jumapili, Juni 08, 2014

SIKILIZA MANENO YA MTOTO WA MZEE SMALL AKIELEZEA SABABU YA KIFO NA KUHUSU MAZISHI

Msanii mkongwe hapa nchini Said Wangamba maarufu kwa jina la ``Mzee Small` amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Small Wangamba aliyejizolea sifa kwa sanaa ya uigiza huku akijipiga kifua kudhihirisha umwamba pindi anapoigiza na amekuwa ni mtu mwenye misimamo mikali kwa kile asichokihitaji.
Small alizaliwa mwaka 1955 Kilwa na ameacha mke na watoto sita na maziko yake yatafanyika kesho saa kumi jioni katika makaburi ya Tabata Segerea.

0 comments:

Chapisha Maoni