Kitendo cha Madiwani wa Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam kutafuna
mamillioni ya Fedha za walipa Kodi kupitia mgongo wa ziara ya kifisadi
kwamba walikwenda Mtwara kujifunza Kilimo cha zao la Muhogo, Kilimo
ambacho kimsingi hakina tija wala suluhu ya matatizo Sugu yaliyodumu
ndani ya manispaa hiyo kwa kipindi cha miaka zaidi ya hamsini ya Uhuru,
ni kutowatendea haki Wananchi wa Jimbo la Ilala wanaotaka kuona Huduma
bora ya Maji Safi na Salama, Elimu bora mashuleni, Afya na Miundombinu
kama vile Barabara zilizochakaa na kubakia mashimo tupu.
0 comments:
Chapisha Maoni