Alhamisi, Juni 12, 2014

KIJANA AKUTWA AKIMLAWITI MTOTO WA KIUME MWENYE MIAKA 12 KWEUPEEE

Katika hali isiyo ya kawaida mkoani Arusha kijana mmoja ambaye alitambulika kwa jina moja la Ridhiwani amekutwa Bila aibu Akimlawiti mtoto wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro jioni ya leo. Mpaka sasa kijana huyo yupo eneo alililo kamatwa Njiro karibu na PPF. 
Ridhiwani  aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita
Huyu ndiye dogo ambaye amelawitiwa ana umri wa Miaka 12.
 Wananchi wenye Hasira kali wakiwa  wanataka kuanza kumtandika kijana huyo.

0 comments:

Chapisha Maoni