Kufutia kifo cha mjumbe wa kamati kuu ya chadema Shida Salum ambaye ni
mama yake Mzazi na Zitto zuberi kabwe chama cha demokrasia na maendeleo
kimetangaza siku tatu za maombolezo.
Akiongea na wananchi waliokuwa wamejitokeza kwa wingi mtaa wa balaa ukiwa ni mkutano wa madiwani na mbunge wa Arusha mwenyekiti wa chadema wilaya ya Arusha Mhe. Nanyaro Ephata alisema si busara kuendelea na mkutano huo huku wakiwa wamempoteza kiongozi wa ngazi za juu kabisa za maamzi.
Akiongea na wananchi waliokuwa wamejitokeza kwa wingi mtaa wa balaa ukiwa ni mkutano wa madiwani na mbunge wa Arusha mwenyekiti wa chadema wilaya ya Arusha Mhe. Nanyaro Ephata alisema si busara kuendelea na mkutano huo huku wakiwa wamempoteza kiongozi wa ngazi za juu kabisa za maamzi.
0 comments:
Chapisha Maoni