Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na
majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka.
JB alisema licha ya umri wake mkubwa katika tasnia ya filamu lakini
suala la majungu limekuwa likimtesa na mbaya zaidi ni ngumu kulidhibiti.
Kusema ukweli majungu ni mengi kiasi ambacho kungekuwa na mbadala wa kazi ningefanya ili niwaache na majungu yao ya kila kukicha
alisema
JB.
0 comments:
Chapisha Maoni