Tarehe 15 Mei miaka 238 iliyopita kama leo, ilitengenezwa meli ya kwanza
yenye kutumia mvuke. Meli inayotumia nishati ya mvuke ilitengenezwa
miaka 70 baada ya kuvumbuliwa nishati ya mvuke na mhandisi wa Kifaransa
Denis Papin. Utumiaji wa nishati ya mvuke katika meli ulileta mabadiliko
makubwa katika sekta ya usafiri wa baharini.
0 comments:
Chapisha Maoni