Jumanne, Mei 20, 2014

KAMA HUKUSHUDIA MAZISHI YA ADAM KUAMBIANA JANA...BASI NI WAKATI WAKO KUTAZAMA KATIKA VIDEO NILIYOKUWEKEA HAPA


Mazishi ya mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana yamefanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar siku ya jana. Kabla ya mazishi mwili wa marehemu uliagwa na maelfu ya watu pamoja na watu mashuhuri pamoja na viongozi wa kisiasa nchini katika Viwanja vya Leaders jijini Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema peponi. AMEN!

0 comments:

Chapisha Maoni