Alhamisi, Aprili 10, 2014

KABURI LA ALIYEKUWA MTABIRI MAALUFU NCHINI SHEIKH YAHYA HUSSEIN LAVUNJWA NA ASKARI WA MANISPAA YA ILALA, MWANAE AELEZEA KWA MASIKITIKO

"Nina masikitiko makubwa kuwaarifu kuwa Leo Saa sita za Usiku Askari wa Manispaa ya Ilala wamevunja Makaburi ya Masheikh Wetu, la Marhum Sheikh Kassim Bin Juma na Marhum Sheikh Yahya Hussein ambayo mnayaona hapo hivi ni sawa ???????? kutufanyia hivi naomba mchango wenu"

0 comments:

Chapisha Maoni