
Sasa hii imekuwa ni kinyume sana kwa mwanamuziki chipukizi kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni staa wa nyimbo za Skelewu na Aye namwongelea 'Omo baba olowo' Davido ambaye pamoja na mafanikio aliyoyapata bado anapenda kula chakula cha asili, kama ulikuwa hujui ni kwamba Davido anapenda kunywa 'garri' huu ni uji ambao huchanganywa na maharage yaliyochemshwa!!!
Kweli unaweza kushangaa, lakini ndivyo ilivyo na mwenyewe anasema mwanamke akimtaka pia aweze kunywa garri na sio mambo ya fast food..
0 comments:
Chapisha Maoni