Matumizi mabaya ya pikipiki maarufu kama bodaboda kwa kutofuata sheria
za usalama wa barabara na kupakia hadi abiria wanne katika pikipiki moja
huku wengine wakendesha bila ya leseni pamoja na kofia ngumu
vimeendelea Kujitokeza katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam
hivyo kikosi cha usalama barabarani kimetakiwa kubuni mbinu mpya ili
kuthibiti vitendo hivyo.




0 comments:
Chapisha Maoni