Jumatatu, Machi 10, 2014

MATUMAINI YA MATUMIZI YA SARAFU MOJA AFRIKA MASHARIKI YAONGEZEKA

Matumaini ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki za kutumia sarafu moja yanaendelea kuongezeka baada ya nchi hizo kuzindua mradi wa kuwawezesha wananchi wa nchi hizo kutumia fedha za nchi zao kununua bidhaa katika nchi nyingine bila kulazimika kuzibadililsha .

0 comments:

Chapisha Maoni