Juhudi za kutafuta ndege aina ya Boeing 777 ya Malaysia Airlines
iliopotea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi ikiwa na abiria zaidi ya 200
zimeendelea kushika kasi katika eneo la kisiwa kilichopo nchini Vietnam
ambapo inashukiwa huenda mabaki ya ndege hiyo yakapatikana katika eneo
hilo.




0 comments:
Chapisha Maoni