Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wapitisha kwa pamoja kanuni za
kuliongoza bunge hilo. Mchungaji Mtikila awa mbogo kwa Mwenyekiti wa
Muda Pandu Kificho, alalamika kutopewa nafasi ya kuzungumza.
Uchaguzi wa mwenyekiti wa kudumu kufanyika kesho saa kumi jioni, Fomu za kugombea nafasi hiyo kutolewa leo ofisi za Bunge.
Uchaguzi wa mwenyekiti wa kudumu kufanyika kesho saa kumi jioni, Fomu za kugombea nafasi hiyo kutolewa leo ofisi za Bunge.




0 comments:
Chapisha Maoni