LORI la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.
Chanzo cha
ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa
linashuka mlima huo.Shuhda wa ajali hiyo bwana Julius chacha alipoongea
na mtandao wetu wa Dj sek blog amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia
lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.






0 comments:
Chapisha Maoni