Photo of the Remarkables mountain range in Queenstown, New Zealand.
FICHUO
  • MASKANI
  • HABARI
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • MAGAZETI
  • AUDIO
  • VIDEO
  • MAWASILIANO
  • FICHUO

Jumatatu, Agosti 26, 2013

DILLISH MATHEWS MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013

Agosti 26, 2013  BURUDANI  No comments

Dillish Matthews kutoka nchini Namibia amejishindia zaidi ya shilingi milioni 480 (300,000 usd) baada ya kuibuka mshindi wa Big Brother The Chase 2013.

Dillish amewabwaga washiriki wenzake wanne Beverly, Melvin, Cleo na Elikem alioingia nao tano bora. Wa kwanza kutolewa tano bora alikuwa Beverly akifuatiwa na Melvin baadaye akafuata Elikem na kuwaacha Dillish na Cleo wakichuana kutafuta mshindi wa dola 300,000 za Kimarekani. Hatimaye Cleo naye aliondolewa katika kinyang'anyiro hicho na kumuacha Mnamibia Dillish akiondoka na kitita cha zaidi ya milioni 480 na kuwa mshindi wa Big Brother Season 8 The Chase 2013.

Tuma Hii kwa Barua pepe Blogu Hii! Chapisha kwenye X Shiriki kwenye Facebook
Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

0 comments:

Chapisha Maoni

FICHUO KATIKA FACEBOOK

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • UMESOMA HADITHI NYINGI ZA MAPENZI, LAKINI HII ITAKUSISIMUA KULIKO ZOTE, UTATUMIA DAKIKA 2 KUSOMA LAKINI...
    1st year nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa niki...
  • MAANA YA HERUFI ZA MWANZO ZA MAJINA YENU
    A; Haraka, Pupa ya Maisha Wenye jina linaloanza na herufi ”A” ni Watu wanaopenda mambo makubwa, Wanajiamini, na wenye uwezo wa kutim...
  • TAMBUA JINSI YA KUVUNA PESA KWA KUTUMIA NYOTA YAKO
    Pesa inatambulika kama nyenzo ya kukuwezwesha kupata kitu au huduma, lakini kwa watu wengine huchukuliwa katika tafsiri tofauti, Kw...
  • AIBU...WACHEZA UCHI CLUB USIKU...WAVURUMUSHWA NA POLISI
    Ilitokea pata shika katika klabu moja mashuhuri sana hapa jijini dar es  salaam pale watu walipopandwa na mzuka usiku wa manane na ku...
  • MAKAHABA/MACHANGUDOA WAIVAMIA DODOMA
    “‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini ...
Inaendeshwa na Blogger.

MR. FICHUO KATIKA TWITTER

Tweets by YohanaMwambene

TULIYONAYO

  • HABARI
  • BURUDANI
  • MICHEZO
  • AFYA
  • MAPENZI
  • VIDEO
  • TRACKS
  • MAGAZETI

KUHUSU SISI

FICHUO
Tazama wasifu wangu kamili

 
Copyright © FICHUO