Jumapili, Aprili 02, 2017

MR EAZI ALIYESHIRIKISHWA NA BEN POL KATIKA 'PHONE' SASA AMELETA YA KWAKE HII 'FIGHT' +VIDEO

Anafahamika kama Mr Eazi katika katika ulimwengu wa muziki, lakini jina lake halisi ni Oluwatosin Oluwole Ajibade, mzaliwa wa Port Harcourt, nchini Nigeria, umri wake ni miaka 28 na tayari ametoa albam ambayo ni Life Is Eazi: Accra to Lagos. Sisi watanzania tulimfahamu kupitia wimbo alioshirikishwa na Mwanamuziki staa wa RnB Ben Pol katika 'Phone'.
Sasa Mr Eazi katuletea wimbo mpya unaitwa 'Fight' na hapa kashirikiana na Dj Cuppy mwenyeji wa Nigeria, mwanamke mwenye miaka 24 ambaye ni maarufu zaidi kwa kucheza na mashine yaani DJ

0 comments:

Chapisha Maoni